Yeremia 42:11 BHN

11 Msimwogope mfalme wa Babuloni mnayemwogopa; naam, msimwogope hata kidogo. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Mimi niko pamoja nanyi kuwaokoeni na kuwasalimisha kutoka mikononi mwake.

Kusoma sura kamili Yeremia 42

Mtazamo Yeremia 42:11 katika mazingira