Yeremia 42:17 BHN

17 Watu wote wenye nia ya kwenda kukaa Misri watakufa kwa njaa na maradhi mabaya wala hakuna hata mmoja wao atakayebaki au kunusurika kutokana na maafa nitakayowaletea.

Kusoma sura kamili Yeremia 42

Mtazamo Yeremia 42:17 katika mazingira