Yeremia 49:28 BHN

28 Kuhusu Kedari na falme za Hazori ambazo Nebukadneza mfalme wa Babuloni, alizishambulia na kuzishinda, Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Inuka uende kulishambulia kabila la Kedari!Waangamize watu wa mashariki!

Kusoma sura kamili Yeremia 49

Mtazamo Yeremia 49:28 katika mazingira