Yeremia 50:15 BHN

15 Upigieni kelele za vita pande zote,sasa Babuloni umejitoa ukamatwe.Ngome zake zimeanguka,kuta zake zimebomolewa.Ninalipiza kisasi juu ya BabuloniBasi jilipizeni kisasi,utendeeni kama ulivyowatenda wengine.

Kusoma sura kamili Yeremia 50

Mtazamo Yeremia 50:15 katika mazingira