15 Upigieni kelele za vita pande zote,sasa Babuloni umejitoa ukamatwe.Ngome zake zimeanguka,kuta zake zimebomolewa.Ninalipiza kisasi juu ya BabuloniBasi jilipizeni kisasi,utendeeni kama ulivyowatenda wengine.
Kusoma sura kamili Yeremia 50
Mtazamo Yeremia 50:15 katika mazingira