21 “Pandeni, mwiendee nchi ya Merathaimu,nendeni kuishambulia;washambulieni wakazi wa Pekodina kuwaangamiza kabisa watu wake.Nasema mimi Mwenyezi-Mungu.Fanyeni kila kitu nilichowaamuru.
Kusoma sura kamili Yeremia 50
Mtazamo Yeremia 50:21 katika mazingira