Yeremia 50:20 BHN

20 Siku hizo na wakati huo, uovu utatafutwa nchini Israeli, lakini hautapatikana; dhambi itatafutwa nchini Yuda, lakini haitapatikana; maana mimi nitawasamehe wale ambao nimewabakiza. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 50

Mtazamo Yeremia 50:20 katika mazingira