Yeremia 50:31 BHN

31 “Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi,napigana nawe ewe mwenye kiburi,maana siku yako ya adhabu imefika,wakati nitakapokuadhibu umewadia.

Kusoma sura kamili Yeremia 50

Mtazamo Yeremia 50:31 katika mazingira