Yeremia 50:34 BHN

34 Lakini mimi, Mkombozi wao ni mwenye nguvu. Mwenyezi-Mungu wa Majeshi ndilo jina langu. Hakika nitatetea kisa chao ili nilete amani katika nchi yao, lakini taabu kwa wakazi wa Babuloni.

Kusoma sura kamili Yeremia 50

Mtazamo Yeremia 50:34 katika mazingira