Yeremia 51:33 BHN

33 Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli asema hivi:“Babuloni ni kama uwanja wa kupuria nafakawakati unapotayarishwa.Lakini bado kidogo tu,wakati wa mavuno utaufikia.”

Kusoma sura kamili Yeremia 51

Mtazamo Yeremia 51:33 katika mazingira