Yeremia 51:59 BHN

59 Mnamo mwaka wa nne wa utawala wake, mfalme Sedekia alikwenda Babuloni pamoja na ofisa wa askari wake aitwaye Seraya mwana wa Neria na mjukuu wa Maseya. Kutokana na fursa hiyo mimi Yeremia nilimpa Seraya ujumbe.

Kusoma sura kamili Yeremia 51

Mtazamo Yeremia 51:59 katika mazingira