Yeremia 9:3 BHN

3 Hupinda maneno yao kama pinde;wameimarika kwa uongo na si kwa haki.Huendelea kutoka uovu hata uovu,wala hawanitambui mimi.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 9

Mtazamo Yeremia 9:3 katika mazingira