Yeremia 17:19 BHN

19 Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Nenda ukasimame penye lango la watu ambapo wafalme wa Yuda huingia na kutoka mjini, na katika malango mengine yote ya Yerusalemu useme:

Kusoma sura kamili Yeremia 17

Mtazamo Yeremia 17:19 katika mazingira