Yeremia 26:9 BHN

9 Kwa nini umetabiri kwa jina la Mwenyezi-Mungu na kusema, nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa, bila wakazi?” Watu wote wakamzingira Yeremia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Yeremia 26

Mtazamo Yeremia 26:9 katika mazingira