Yeremia 43:11 BHN

11 Atakapofika ataiangamiza nchi ya Misri. Hapo waliopangiwa kufa kwa maradhi watakufa kwa maradhi, waliopangiwa kuchukuliwa mateka, watachukuliwa mateka; waliopangiwa kufia vitani watafia vitani.

Kusoma sura kamili Yeremia 43

Mtazamo Yeremia 43:11 katika mazingira