5 Mtu anayewasaliti rafiki zake kwa faidawatoto wake watakufa macho.
6 “Nimefanywa kuwa kichekesho kwa watunimekuwa mtu wa kutemewa mate.
7 Macho yangu yamefifia kwa uchungu;viungo vyangu vyote vimekuwa kama kivuli.
8 Wanyofu wanaduwaa waonapo balaa langu,nao wasio na hatia hujichocheadhidi ya mtu wanayedhani hamchi Mungu.
9 Hata hivyo, mnyofu hushikilia msimamo wake,mtu atendaye mema huzidi kuwa na nguvu zaidi.
10 Lakini nyinyi njoni, njoni nyote tena,kwenu sitampata mwenye hekima hata mmoja.
11 “Siku zangu zimekwisha, mipango yangu imevunjwa;matazamio ya moyo wangu yametoweka.