Yobu 2:10 BHN

10 Yobu akamjibu mkewe, “Wewe unaongea kama wanawake wapumbavu. Tukipokea mema kutoka kwa Mungu, kwa nini tukatae kupokea pia mabaya kutoka kwake?” Katika mambo hayo yote, Yobu hakutamka neno lolote la kumkosea Mungu.

Kusoma sura kamili Yobu 2

Mtazamo Yobu 2:10 katika mazingira