Yobu 31:35 BHN

35 Laiti angekuwapo mtu wa kunisikiliza!Naweza kutia sahihi yangu katika kila nilichosema.Namwambia Mungu Mwenye Nguvu anijibu!Laiti mashtaka wanayonitolea maadui zangu yangeandikwa!

Kusoma sura kamili Yobu 31

Mtazamo Yobu 31:35 katika mazingira