1 Hapo Mwenyezi-Mungu alimjibu Yobu kutoka dhoruba:
2 “Nani wewe unayevuruga mashauri yangukwa maneno yasiyo na akili?
3 Jikaze kama mwanamume,nami nitakuuliza nawe utanijibu.
4 “Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya dunia?Niambie, kama una maarifa.