Yobu 4:16 BHN

16 Kitu kilisimama tuli mbele yangu,nilipokitazama sikukitambua kabisa.Kulikuwa na umbo fulani mbele yangu;kulikuwa kimya, kisha nikasikia sauti.

Kusoma sura kamili Yobu 4

Mtazamo Yobu 4:16 katika mazingira