Yobu 42:15 BHN

15 Katika nchi yote hiyo hapakuwa na wanawake waliokuwa wazuri kama mabinti wa Yobu. Baba yao akawaachia urithi kama alivyowaachia kaka zao.

Kusoma sura kamili Yobu 42

Mtazamo Yobu 42:15 katika mazingira