Isaya 1:13 BHN

13 Msiniletee tena matoleo yenu yasiyo na maana;ubani ni chukizo kwangu.Acheni kufanya sikukuu za mwezi mpya,Sabato na mikutano mikubwa ya ibada;sikubali ibada zilizochanganyika na dhambi.

Kusoma sura kamili Isaya 1

Mtazamo Isaya 1:13 katika mazingira