Isaya 14:2 BHN

2 Watu wa mataifa watawasaidia Waisraeli kurudi katika nchi waliyopewa na Mwenyezi-Mungu. Na hapo watawatumikia Waisraeli kama watumwa. Wale waliowateka sasa watatekwa na Waisraeli, na watawatawala wale waliowadhulumu.

Kusoma sura kamili Isaya 14

Mtazamo Isaya 14:2 katika mazingira