Isaya 29:22 BHN

22 Kwa hiyo, Mwenyezi-Mungu aliyemkomboa Abrahamu,asema hivi kuhusu wazawa wa Yakobo:“Wazawa wa Yakobo hawataaibishwa tena,hawatainamisha vichwa vyao tena kwa aibu.

Kusoma sura kamili Isaya 29

Mtazamo Isaya 29:22 katika mazingira