Isaya 33:14 BHN

14 Wenye dhambi katika Siyoni wanaogopa,wasiomcha Mungu wanatetemeka na kusema:“Nani awezaye kuukaribia moto huu mkali?Nani awezaye kustahimili miali ya moto wa milele?”

Kusoma sura kamili Isaya 33

Mtazamo Isaya 33:14 katika mazingira