Isaya 36:11 BHN

11 Kisha Eliakimu, Shebna na Yoa wakamjibu mkuu wa matowashi, “Tafadhali sema nasi kwa lugha ya Kiaramu maana tunaielewa. Usiseme nasi kwa lugha ya Kiebrania kwa kuwa watu walioko ukutani wanasikia.”

Kusoma sura kamili Isaya 36

Mtazamo Isaya 36:11 katika mazingira