Isaya 6:5 BHN

5 Basi, mimi nikasema, “Ole wangu! Mimi nimeangamia, maana, midomo yangu ni najisi, na watu ninaoishi nao ni najisi kama mimi. Hata hivyo, kwa macho yangu mwenyewe, nimemwona Mfalme, Mwenyezi-Mungu wa majeshi.”

Kusoma sura kamili Isaya 6

Mtazamo Isaya 6:5 katika mazingira