Isaya 13:20 BHN

20 Kamwe hautakaliwa tena na watu,watu hawataishi humo katika vizazi vyote.Hakuna Mwarabu atakayepiga hema lake humo,wala mchungaji atakayechunga wanyama wake humo.

Kusoma sura kamili Isaya 13

Mtazamo Isaya 13:20 katika mazingira