Isaya 19:19 BHN

19 Siku hiyo, kutakuwa na madhabahu kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu katikati ya nchi ya Misri, na nguzo iliyowekwa wakfu kwa Mungu kwenye mpaka wa Misri.

Kusoma sura kamili Isaya 19

Mtazamo Isaya 19:19 katika mazingira