Isaya 19:25 BHN

25 Mwenyezi-Mungu wa majeshi atawabariki na kusema, “Wabarikiwe Wamisri watu wangu, kadhalika na Waashuru ambao ni ishara ya kazi yangu na Waisraeli walio mali yangu.”

Kusoma sura kamili Isaya 19

Mtazamo Isaya 19:25 katika mazingira