11 Ee Mwenyezi-Mungu umeinua mkono kuwaadhibu,lakini maadui zako hawauoni.Waoneshe uwapendavyo watu wako nao wataaibika.Moto wa hasira yako uwateketeze maadui zako!
Kusoma sura kamili Isaya 26
Mtazamo Isaya 26:11 katika mazingira