Isaya 28:21 BHN

21 Maana Mwenyezi-Mungu atainuka kama kule mlimani Perazimu;atawaka hasira kama kule bondeni Gibeoni.Atatekeleza mpango wake wa ajabu;atatenda kazi yake ya kustaajabisha.

Kusoma sura kamili Isaya 28

Mtazamo Isaya 28:21 katika mazingira