Isaya 30:18 BHN

18 Hata hivyo, Mwenyezi-Mungu anangoja awafadhili,atainuka na kuwaonea huruma.Maana, Mwenyezi-Mungu ni Mungu atendaye haki.Heri wote wale wanaomtumainia.

Kusoma sura kamili Isaya 30

Mtazamo Isaya 30:18 katika mazingira