10 Waliokombolewa na Mwenyezi-Mungu watarudi,watakuja Siyoni wakipiga vigelegele.Watakuwa wenye furaha ya milele,watajaliwa furaha na shangwe;huzuni na kilio vitatoweka kabisa.
Kusoma sura kamili Isaya 35
Mtazamo Isaya 35:10 katika mazingira