Isaya 36:1 BHN

1 Mnamo mwaka wa kumi na nne wa utawala wa mfalme Hezekia, mfalme Senakeribu wa Ashuru aliishambulia miji yote yenye ngome ya Yuda na kuiteka.

Kusoma sura kamili Isaya 36

Mtazamo Isaya 36:1 katika mazingira