Isaya 36:22 BHN

22 Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia aliyekuwa mkuu wa ikulu, katibu Shebna, na Yoa mwana wa Asafu mwandishi, wakamwendea mfalme Hezekia huku mavazi yao yakiwa yameraruliwa, wakamweleza maneno ya mkuu wa matowashi.

Kusoma sura kamili Isaya 36

Mtazamo Isaya 36:22 katika mazingira