Isaya 40:12 BHN

12 Nani awezaye kupima maji ya bahari kwa konzi yake,kuzipima mbingu kwa mikono yake?Nani awezaye kuutia udongo wa dunia kikombeni;kuipima milima kwa mizaniau vilima kwa kipimo cha uzani?

Kusoma sura kamili Isaya 40

Mtazamo Isaya 40:12 katika mazingira