Isaya 49:18 BHN

18 Inua macho uangalie pande zote;watu wako wote wanakusanyika na kukujia.Naapa kwa nafsi yangu mimi Mwenyezi-Mungu,watu wako watakuwa kwako kama mapambo,utawafurahia kama afanyavyo bibi arusi na utaji wake.

Kusoma sura kamili Isaya 49

Mtazamo Isaya 49:18 katika mazingira