Isaya 5:2 BHN

2 Alililima vizuri na kuondoa mawe yote,akaotesha humo mizabibu iliyochaguliwa;alijenga mnara wa ulinzi katikati yake,akachimba kisima cha kusindikia divai.Kisha akangojea lizae zabibu,lakini likazaa zabibu chungu.

Kusoma sura kamili Isaya 5

Mtazamo Isaya 5:2 katika mazingira