Isaya 54:17 BHN

17 Silaha zote zilizoundwa kukudhuru wewehazitafaa chochote kile.Mtu akikushtaki mahakamani, utamshinda.Hilo ndilo fungu nililowapangia watumishi wangu.Hizo ndizo haki nilizowathibitishia.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Isaya 54

Mtazamo Isaya 54:17 katika mazingira