Isaya 62:4 BHN

4 Hutaitwa tena: “Aliyeachwa”,wala nchi yako haitaitwa: “Ukiwa”.Bali utaitwa: “Namfurahia,”na nchi yako itaitwa: “Aliyeolewa.”Maana Mwenyezi-Mungu amependezwa nawe,naye atakuwa kama mume wa nchi yako.

Kusoma sura kamili Isaya 62

Mtazamo Isaya 62:4 katika mazingira