Isaya 65:23 BHN

23 Kazi zao hazitakuwa bure,wala hawatazaa watoto wa kupata maafa;maana watakuwa waliobarikiwa na Mwenyezi-Mungu,wamebarikiwa wao pamoja na wazawa wao.

Kusoma sura kamili Isaya 65

Mtazamo Isaya 65:23 katika mazingira