Isaya 66:1 BHN

1 Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Mbingu ni kiti changu cha enzi,dunia ni kiti cha kuwekea miguu yangu.Mtanijengea nyumba ya namna gani basi,Mahali nitakapoweza kupumzika?

Kusoma sura kamili Isaya 66

Mtazamo Isaya 66:1 katika mazingira