Isaya 29:13 BHN

13 Bwana asema,“Watu hawa huja kuniabudu kwa maneno matupu,hali mioyo yao iko mbali nami.Wananiheshimu kulingana na mapokeo ya watu tu,jambo walilojifunza wao wenyewe.

Kusoma sura kamili Isaya 29

Mtazamo Isaya 29:13 katika mazingira