Isaya 4:3 BHN

3 Wale watakaosalia hai mjini Yerusalemu, naam, wale watakaobaki huko Siyoni, wataitwa “Wateule wa Mungu;” hao ndio wale wote watakaokuwa wameandikwa kitabuni mwake waishi huko Yerusalemu.

Kusoma sura kamili Isaya 4

Mtazamo Isaya 4:3 katika mazingira