Isaya 49:26 BHN

26 Nitawafanya wanaokukandamiza watafunane;watalewa damu yao wenyewe kama divai.Hapo binadamu wote watatambua kwambamimi ni Mwenyezi-Mungu, Mwokozi wako,mimi ni Mkombozi wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”

Kusoma sura kamili Isaya 49

Mtazamo Isaya 49:26 katika mazingira