Isaya 62:9 BHN

9 Bali nyinyi mliyoivuna nafaka hiyo,mtaila na kunitukuza mimi Mwenyezi-Mungu.Nyinyi mliochuma zabibu hizo,mtakunywa divai yake katika nyua zangu takatifu.”

Kusoma sura kamili Isaya 62

Mtazamo Isaya 62:9 katika mazingira