Zaburi 40:16 BHN

16 Lakini wote wale wanaokutafutawafurahi na kushangilia kwa sababu yako.Wapendao wokovu wako,waseme daima: “Mwenyezi-Mungu ni Mkuu!”

Kusoma sura kamili Zaburi 40

Mtazamo Zaburi 40:16 katika mazingira