Zaburi 42:9 BHN

9 Namwambia Mungu, mwamba wangu:“Kwa nini umenisahau?Yanini niende huko na huko nikiombolezakwa kudhulumiwa na adui yangu?”

Kusoma sura kamili Zaburi 42

Mtazamo Zaburi 42:9 katika mazingira