Zaburi 40:5 BHN

5 Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, umetufanyia mengi ya ajabu,na mipango yako juu yetu haihesabiki;hakuna yeyote aliye kama wewe.Kama ningeweza kusimulia hayo yote,idadi yake ingenishinda.

Kusoma sura kamili Zaburi 40

Mtazamo Zaburi 40:5 katika mazingira