1 Haleluya.Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema,Kwa maana fadhili zake ni za milele.
2 Nani awezaye kuyanena matendo makuu ya BWANA,Kuzihubiri sifa zake zote?
3 Heri washikao hukumu,Na kutenda haki sikuzote.
4 Ee BWANA, unikumbuke mimi,Kwa kibali uliyo nayo kwa watu wako.Unijilie kwa wokovu wako,